YALIYOMO NDANI YA KITABU CHA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM).


 Hii ni utangulizi wa Yaliyomo ndani ya kitabu cha Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Itakayosimamia utekelezaji wa Serikali kwa kipindi cha miaka mitano (5), yaani kuanzia mwaka 2025 - 2030. Chini ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt: Samia Suluhu Hassan na Dkt: Huseni Ally Mwinyi raisi wa Zanzibar.


Post a Comment

0 Comments